➡️Battery ni kifaa mhimu sana kwenye engine..hasa hizi za automatic...
Na Khalifa Hassan Simba
Chuo cha Udereva ZITCO
➡️Ili kuepuka kupoteza pesa za kununua battery mara kwa mara unatakiwa kufanya haya...
1=unapopack gari hakikisha umezima kila kitu na ufunge milango vizuri....
2=Ukitaka kumsaidia mwenzako kubust njia nzuri unatakiwa kufungua battery yako.. na ufunge kwake..au tumia waya kubust Lakin gari yako iwe imezimwa..
3=Ukipaki gari zaidi ya week hakikisha unafungua teminal..
4=Epuka kupandisha vioo ua kusikiliza radio gari ikiwa imezimwa
5=Hakikisha terminal ya postev imefunikwa kwa ajiri ya kuzuia short...
Note:
Life span ya battery nzuri ni miaka 2 hadi 3 endapo utaitunza vizuri....
Je',,, una shida ya battery kwenye gari yako?...
Yaani mpaka ukienda kuiwasha unajuiliza sijui itawaka😂😂😂
UKWELI NI KWAMBA
➡️utakosa Amani endapo gari yako haiwaki mpaka ufanyiwe busting....
Ongea na fundi simba...nione jinsi ya kukusaidia....
0767040022
MWISHO.

0 Comments