habari
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetoa wito kwa viongozi na waumini wa Kiislamu kutumia mafundisho ya dini kuchochea upangaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa ajili ya kukuza uchumi wa wananchi na kuondoa utamaduni wa kuombaomba.
Social Plugin