Na Khalifa Hassan Simba
Chuo cha Udereva ZITCO - KAHAMA
➡️ANTILOCK BRAKING SYSTEM ..huu ni mfumo salama wa umeme unaoruhusu tyre kujidhibiti katika mpangilio wa mtetemo wakati dereva anapofunga brake..na kusababisha tyre kupunguza mwendo na kuepusha gari kukosa muelekeo....
➡️Kwa kawaida unapokanyaga brake nguvu ya uzito wa mwendo hukimbilia kwenye tyre za mbele asilimia 59.9.. na asilimia 39.9 kuwa kwenye tyre za nyuma....
*➡️Hivyo tyre za mbele huwa na brake zenye uwezo zaidi kuliko nyuma*
➡️Ushikaji wa brake ukitofautiana kati ya tyre ya kulia na kushoto ni tatizo...kwa kuwa lile lililoshika brake litakuwa linasota (skidding) wakati ambalo halijashika brake litaendelea kutembea...
*➡️Kitendo cha tyre 1 kushika brake na lingine kutoshika kinawaeza kukuletea madhara makubwa kwani gari litavuta upande ulioshika brake na kama upo speed kubwa gari inaweza kupinduka*
NOTE:
*➡️Ukiwa speed kubwa na ukafunga brake ghafra..utahisi mtetemo kwenye pedal ya brake hapo ujue Abs system inafanya kazi sawia*
➡️vitu vinavyoweza kusababisha Abs system kutofanya kazi
1=kuharibika kwa Abs sensor
2=kuungua kwa fuse
3=kuharibika kwa Abs moter
4=Tatizo la wiring
Endapo kuna warning light ya Abs kwenye dashibody yako check kwa diagnosis machine kujua tatizo lilipo kiurahisi.
+255 767 040 022
MWISHO.

0 Comments