TANGAZO

TANGAZO

WANANCHI PAMOJA NA SUNGUSUNGU WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI KUDHIBITI UHALIFU MSALALA

 

Wananchi wa Kata ya Lunguya iliyopo Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga wamehimizwa kushirikiana kwa karibu na Jeshi la Polisi pamoja na vikundi vya Sungusungu ili kuhakikisha vitendo vya uhalifu vinakomeshwa na kudumisha amani na usalama katika maeneo yao.

 

Post a Comment

0 Comments